Wimbi la Siasa

By RFI

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.

Image by RFI

Category: News & Politics

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast

Subscribers: 0
Reviews: 0
Episodes: 24

Description

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa


Episode Date
Tundu Lisssu afunguliwa kesi ya uhaini, CHADEMA matatani
Apr 16, 2025
Tanzania: CHADEMA yashinikiza mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu
Apr 09, 2025
Mkuu wa majeshi nchini Kenya akemea wanaomtaka rais Ruto aondoke
Apr 02, 2025
Harakati za kumaliza mzozo wa DRC, nani atafanikisha ?
Mar 26, 2025
Nani ataisadia Sudan Kusini, isirejee kwenye vita ?
Mar 19, 2025
Serikali ya umoja wa kitaifa itasuluhisha mzozo wa DRC ?
Mar 12, 2025
Je, Raila ataegemea upande gani wa kisiasa ?
Mar 05, 2025
Hatima ya mzozo wa Sudan baada ya RSF kusaini mkataba wa kuunda serikali mbadala
Feb 26, 2025
Mahamoud Ali Youssouf ashinda Uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika
Feb 19, 2025
Je, maazimio ya jumuiya za EAC na SADC kuhusu DRC yatatekelezwa ?
Feb 12, 2025
Nini hatima ya Afrika baada ya Trump kusitisha misaada ?
Feb 05, 2025
Nini suluhu ya mzozo wa Mashariki mwa DRC ?
Jan 29, 2025
Rais Samia ateuliwa na cham chake kuwania urais mwaka 2025
Jan 22, 2025
Vita Mashariki mwa DRC vyawaathiri maelfu ya watu Masisi
Jan 15, 2025
Tanzania: Mbowe na Lissu wakiweka CHADEMA njia panda
Jan 08, 2025
Msumbiji yaendelea kujipata kwenye mvutano wa kisiasa
Jan 01, 2025
Hatua ya rais wa Kenya kuwateua wandani wa mtangulizi wake yazua maswali
Dec 25, 2024
Kufeli kwa mkutano wa Luanda kwazua sintofahamu zaidi kwa usalama wa DRC
Dec 18, 2024
Uchaguzi mkuu wa Ghana: Chama tawala NPP kushindwa na chama cha upinzani NDC unatoa funzo gani?
Dec 12, 2024
Umoja wa Mataifa unaadhimisha Siku 16 za Unaharakati dhidi ya Dhuluma za Kijinsia
Nov 30, 2024
Wakaazi wa jimbo la Somaliland wapiga kura kumchagua rais na wabunge
Nov 13, 2024
Msumbuji : Upinzani wakataa kutambua ushindi wa Daniel Chapo
Nov 05, 2024
Kenya : Bunge la Kenya lamuondoa naibu rais afisini
Oct 26, 2024
Mgogoro kati ya rais na naibu wake nchini Kenya ambao ni mzozo wa kihistoria
Oct 23, 2024